Anaitwa Mrema Selasini na unapoingia tu ndani ya Club Masai unaanza kuiona kaunta yake ambayo ipo upande wa kulia.Ni mfanyakazi hodari mwenye uzoefu na anazingatia maadali ya kazi yake , hapa kaunta tuna vinywaji vya kila aina kama ambavyo picha inaonyesha.Karibuni mpate huduma kutoka kwake ama watoto wa mjini huwa wasema "kula bata".
No comments:
Post a Comment