HUDUMA KILA SIKU .JUMATATU.JUMANNE.JUMATANO.ALHAMISI.IJUMAA.JUMAMOSI NA JUMAPILI.
Tuesday, April 20, 2010
HUYU NI MENEJA NDANI YA KAUNTA KUU
Mzee Kasian Mponda ni Meneja Mkuu wa Club Masai . Licha ya kuwa ni mchapazi hodari pia ni mtu mcheshi sana kwa watu . Hapa yupo Kaunta Kuu akipata huduma kutoka kwa Tesha na ilikuwa alifajiri siku ya JUmapili wiki iliyopita.
No comments:
Post a Comment