Hebwana eeh! Kijana huyui ni matata sana katika moja na mbili ! Siku ukija ndani ya kiwanja hiki ni lazima ukubali ninachokuandikia hapa. Anaweza kuchezesha kuanzia Funk , Bongo Flava , Hip-Hop , R& B na kila aina ya muziki . Acha kubana hebu siku moja njoo umuoneeee!!!!!
No comments:
Post a Comment